Semina ya UAMUZI WA MPIRA WA MIGUU YAINGIA SIKU YA 4 KATIKA WILAYA YA BARIADI MKOA WA SIMIYU,
Semina hiyo itachukua muda wa siku 6, ambapo ilianza rasmi tarehe 01.04.2013 siku ya juma tatu na kuishia tarehe 06.04.2013 siku ya jumamosi
Baada ya kuhitimisha mafunzo hayo wahitimu watafanya mazoezi ya kuchezesha mpira kuanzia siku ya Jumatatu, katika mashindano ya Umitashumta
Picha na Maelezo zaidi ya semina hiyo zitawajia hivi punde
Semina hiyo itachukua muda wa siku 6, ambapo ilianza rasmi tarehe 01.04.2013 siku ya juma tatu na kuishia tarehe 06.04.2013 siku ya jumamosi
Baada ya kuhitimisha mafunzo hayo wahitimu watafanya mazoezi ya kuchezesha mpira kuanzia siku ya Jumatatu, katika mashindano ya Umitashumta
Picha na Maelezo zaidi ya semina hiyo zitawajia hivi punde
Post a Comment