Video:- Balaa Ya Mafuriko


Mvua kubwa inayoendelea kunyesha kote nchini Kenya  yaendelea kusababisha maafa huku vitengo vya serikali ambavyo vinavyoshughulikia matukio ya dharura vikimulikwa. Hivi leo, watu wanane wameripotiwa kufa maji baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko mjini Kargi kaunti ya Marsabit. Haya yameripotiwa huku gari la abiria lilisombwa na mafuriko wakati dereva alipojaribu kuvuka daraja lililokuwa limefurika na kuharibika vibaya mtaa wa Nkoroi mjini Kiserian.

Post a Comment

Previous Post Next Post