MABINTI WA KITANGA KATIKA MTOKO WA 'DINNER'...WATU WACHA MATE YAMWAGIKEEE!

 Washiriki wa Miss Tanga wakiwa katika chakula cha usiku katika ukumbi wa Pub Hai, maeneo ya Saba saba Tanga usiku walipoalikwa na uongozi wa Pub hiyo. Shindano la Miss Tanga linatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Chakula kitamu

Sala kwanza; Mrembo akisali kabla ya kuanza kula

Kupakuliwa tani yako

Yaani ile ushindwe mwenyewe

Mapochopocho

Waandaaji na bosi wa Pub Pub wakiteta

Mkurugenzi wa DATK Entertainment, waandaaji wa Miss Tanga 2013, Asha Kigundula akigonga cheers na mumewe  

Warembo Cheers

Jamani totozx za Miss Tanga si mnaoooonaaaaa

Mrembo akimiminiwa mvinyo na bosi wa Pub Hai

Post a Comment

Previous Post Next Post