Chumba kilichotumika kwa mwanafunzi huyo, mwenzake kufanyia ufuska.
Mwanafunzi mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana, tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la Yombo Vituka jijini Dar es salaam.
Hata hivyo mfumaniwa mwenzake hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia.
(Picha zote na maelezo yameletwa na Dei Misana)
Wazazi wa uchungu na hasira wakiwa na binti yao mara baada ya fumanizi.
Wazazi wakimpiga binti yao kwa uchungu na hasira mara baada ya fumanizi.
Post a Comment