SIMBA SC YASAJILI STRIKER LA MAREKANI JIONI HII


Mshambuliaji wa zamani wa Pamba FC ya Mwanza, Betram Mombeki (kulia) aliyekuwa Marekani kwa muda mrefu, akisaini Mkataba wa miaka miwili kuichezea SImba SC leo, baada ya kuvutia katika majaribio. Kulia ni Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi'.

Post a Comment

Previous Post Next Post