Msimamo
wetu kuhusu rasimu ya katiba mpya na mustakabali wa taifa utatolewa leo
Jumamosi ya Julai 13, 2013 kwenye mkutano wa hadhara katika viwanja vya
Shule ya Ukombozi-Manzese kuanzia saa 8 mchana.
Hotuba zitatolewa na viongozi mbalimbali wakiwemo Dk.W.Slaa, T.Lissu, M.Marando nk nathibitisha nami nitakuwapo kuwakaribisha Jimboni Ubungo.
Wananchi wote mnakaribishwa. Njoo wewe, njoo na yule!
Mabadiliko ya Kweli, Uhuru wa Kweli!
Muhimu:
Hotuba zitatolewa na viongozi mbalimbali wakiwemo Dk.W.Slaa, T.Lissu, M.Marando nk nathibitisha nami nitakuwapo kuwakaribisha Jimboni Ubungo.
Wananchi wote mnakaribishwa. Njoo wewe, njoo na yule!
Mabadiliko ya Kweli, Uhuru wa Kweli!
Muhimu:
- Shule ipo jirani na Manzese TipTop.
- Maelekezo wasiliana na M/Kiti wa Kata ya Manzese, Ali Makwilo 0784-691449 au 0715-691449 au 0769-658593
---
Taarifa hii imetolewa na:
John Mnyika (Mb)
Jumamosi, Julai 13, 2013
Post a Comment