Kiwango kikubwa cha dawa za mazao chakutwa kwenye chakula kilichoua watoto 23 shuleni

 
Wataalamu wa lishe, afya na viuatilifu kama Dkt Vera Ngowi wamekuwa akielimisha jamii kuhusu athari za matumizi ya viuatilifu, dawa za viwandani zinazotengenezwa kwa kemikali pamoja na dawa za kuhifashia nafaka na mazao yanayotumiwa na binadamu pamoja na wanyama.

Huko nchini India watoto 23 wa shule moja wamepoteza uhai baada ya kula chakula na ripoti za awali zinaonesha chakula hicho kiligeuka sumu kutokana na kuoza na kuchanganyika na dawa za kukihifadhia ambazo huenda zilishageuka sumu. 

Ripoyi ifuatayobya BBC inaelezea zaidi:-

High levels of agricultural insecticide have been found in samples taken from tainted food blamed for the deaths of 23 schoolchildren in north-eastern India.

Forty-seven were taken ill after eating a free meal of rice and soya beans at a school in Bihar state on Tuesday.

Police said "very toxic" levels of the pesticide monocrotophos had been detected by scientific tests.

Vegetable oil used to prepare the food was revealed to be highly contaminated.

"It was the high quantity of monocrotophos insecticide found in the food which proved fatal for the schoolchildren", said Ravindra Kumar, a top police official in Bihar state capital Patna.

He was speaking after forensic science experts in Saran district issued the results of tests carried out on the cooking oil.

On Friday, police said they suspected the vegetable oil had been in a container previously used to store the pesticide.

'Smelled strongly'

The school's cook, Manju Devi, had earlier accused the school principal, Meena Kumari, of forcing her to use the oil, despite the cook complaining that it "smelled strongly" and looked "dodgy".

Meena Kumari, who is still at large, is wanted on suspicion of criminal negligence, justice authorities say.

Post a Comment

Previous Post Next Post