Taswira za Ziara ya Mh. Pinda katika mikoa ya Njombe na Ruvuma

0519
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza katika majumuisho ya ziara yake katika mkoa wa Njombe. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Msangi na wa wapii kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa huo Deo Sanga.

0540
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiagana na Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba baada ya kumaliza ziara ya kikazi mkoani humo.

Chanzo - MOBLOG

Post a Comment

Previous Post Next Post