Mzungu wa Marekani aimba wimbo wa Diamond ‘Mbagala’ mwanzo hadi mwisho huku akipiga gitaa - Video



Nassib Abdul a.k.a Diamond Platnumz aingiwa na imani ya muziki wetu kufika mbali zaidi baada ya nguli huyo kushuhudia video ya Mmarekani aliyetambulika kwa jina la Chris Vickio akiimba wimbo wa “mbagala” wote.
Tazama hapa video hiyo

Post a Comment

Previous Post Next Post