Na Mwandishi WetuMADAM, Wema Sepetu ameonesha upande wa pili wa maisha yake baada ya kunaswa akikata mauno mwanzo mwisho.
Kwa
 mujibu wa mtandao mmoja wa Kibongo, Madam alifi ka na kampani yake 
katika Ukumbi wa Thai Village, Masaki jijini Dar hivi karibuni na ndipo 
‘mashetani’ yalipompanda baada ya kusikia sebene lililokuwa 
likiporomoshwa na Bendi ya Skylight.Wema akiwa na kampani yake wakionekana kukolea kwa kilevi, waliinuka na kuanza kushindana kucheza huku Wema akijiweka ziro distance na mmoja wa wanamuziki wa bendi hiyo na kuanza kumkatikia.
Post a Comment