ZIARA YA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA MAKETE YAZIDI KUIBUA MENGI

Viongozi wa CCm wilaya ya Makete wakikagua chumba cha darasa wanachosomea wanafunzi wa darasa la tatu na la nne kwa pamoja
 Katibu wa CCM wilaya ya makete Miraji Mtaturu, mwenyekiti Francis Chaula na diwani wa kata ya Kitulo Mbosa Tweve wakisikiliza maelezo kutoka kwa mkuu wa shule ya msingi Nkenja Hester Mahenge ofisini kwake
 Viongozi wa CCM wakikagua ujenzi wa madarasa unaodaiwa kusuasua, mwenyekiti wa CCM wilaya ya makete (katikati) akizungumzia ujenzi huo
 darasa wanalotumia wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili kusomea
 Turubai linalotumika kama bati kwenye jengo hilo
 Vyumba viwili vya madarasa ambavyo vinafaa kwa matumizi shuleni hapo

Post a Comment

Previous Post Next Post