
Msanii mahiri aliyesaidia sanaa ya bongo fleva kukuwa hapa nchini
Ally Kiba, kwa sasa imeripotiwa yupo nchini Ujerumani ambapo msanii
huyu alikwenda nchini humo kwa ajili ya kupiga shoo siku ya tarehe saba,
kwa ajili ya kuwaburudisha wapenzi wa muziki wake walioko nchini humo
katika jiji la Frankfurt Ujerumani.

Na sasa msanii huyu antarajia kuelekea nchini Uswiss kwa ajili ya kwenda kuwaburudisha wapenzi wengine wa muziki wake walioko katika jiji la Zurich. Ally Kiba anatarajiwa kufanya shoo hiyo Zurich tarehe 14.

Ila kwa sasa msanii huyu yupo bado nchini Ujerumani kwa mapumziko ya muda kabla ajaondoka nchini humo kwenda Switzerland… Na pia yasemekana msanii huyu anatarajia kuhudhuria mechi ya Bayern Munich dhidi Manchester City hapo baadae.

Na sasa msanii huyu antarajia kuelekea nchini Uswiss kwa ajili ya kwenda kuwaburudisha wapenzi wengine wa muziki wake walioko katika jiji la Zurich. Ally Kiba anatarajiwa kufanya shoo hiyo Zurich tarehe 14.

Ila kwa sasa msanii huyu yupo bado nchini Ujerumani kwa mapumziko ya muda kabla ajaondoka nchini humo kwenda Switzerland… Na pia yasemekana msanii huyu anatarajia kuhudhuria mechi ya Bayern Munich dhidi Manchester City hapo baadae.
Post a Comment