Napenda
kuchukua nafasi hii kuwafahamisha wasomaji wa blog hii kuwa matokeo ya
kidato cha pili 2013 yametoka lakini utaratibu wa serikali ni kuwa
matokeo hayo hayawekwi kwenye mtandao na badala yake yametumwa tayari
kwenye kila shule ya sekondari hapa nchini
Hivyo basi ni vyema wahusika wakafika kwenye shule zao wanazosoma ili myaone hayo matokeo
Post a Comment