Mwenyekiti wa CCM Washington amtembelea Lowassa

download
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli ambaye pia ni mwenyekiti kamati ya bunge ya mambo ya nje akifurahia jambo kutoka kwa mwenyekiti wa ccm tawi la Washington DC  George Sebo aliyekwenda kumtembelea Mh Lowassa ofisini kwake jijini dar es salaam.

Post a Comment

Previous Post Next Post