Ni maneno aliyoyaandika msanii anayefahamika kama Mzungu Kichaa masaa machache yaliyopita mapema leoo…Furaha ndiyo neno linaloweza kuielezea hali anayojisikia mkali huyu. Ni baada ya kufanikiwa kupata mtoto wa kike kwa jina anaitwa “Olivia”
Mtoto Olivia
“Jina lake ni Olivia aka Lil Kichaa. Mum and dad are also in good health”, aliandika Mzungu kichaa kupitia ukurasa wake wa Facebook
Hongera na pongezi nyingi kwako Mzungu Kichaa kwa zawadi hiyo nzuri toka kwa muumba. Cute little Olivia
Mtoto Olivia
“Jina lake ni Olivia aka Lil Kichaa. Mum and dad are also in good health”, aliandika Mzungu kichaa kupitia ukurasa wake wa Facebook
Hongera na pongezi nyingi kwako Mzungu Kichaa kwa zawadi hiyo nzuri toka kwa muumba. Cute little Olivia
Post a Comment