.
Ijumaa iliyopita Star wa Nigeria Davido alikuwa anatarajiwa
kufanya show New York, Marekani show ambayo imeacha historia ya kupata
watu nyomi kiasi cha kusababisha hadi polisi wa New York kuingilia kati
na kuifunga kwa sababu za kiusalama kutokana na wingi wa watu.
Show ya New York ndio ilikuwa ya kwanza katika tour yake ya Marekani
na Canada, na hiki ndicho alichokiandika Instagram baada ya show hiyo
kuzuiwa na polisi.
“Damn! My NY was too packed, police shut it down! The love and
support that came out was overwhelming!!! I will be back! Really Sad!”
Tazama video (hapo juu) ya jinsi show hiyo ya New York ilivyojaa watu
pamoja na Davido akiomba radhi mashabiki wake wa New York kwa kile
kilichotokea.
Post a Comment