Jay Mo, Profesa Jay & Juma Nature wala gwanda za kijeshi kwenye ‘JWTZ’ - Video

Profer Jay na Jay Mo
9

Wasanii manguli wa Tanzania ambao majina yao yanaanzia na J, Juma Mchopanga aka Jay Mo, Joseph Haule aka Profesa Jay na Juma Cassim ana Nature wameingia studio kufanya ngoma mpya iitwao ‘JWTZ’. Wimbo huo pamoja na video yake vimefanyika kwenye studio za Williamz Visions chini ya mtayarishaji Mike Mwakatundu aka Mike T. Tazama video inayoonesha wakali hao wakiwa wamevalia nguo halisi za kijeshi pamoja na zana mbalimbali za kivita huku wakipewa kampani ya wanajeshi hali wa Jeshi la Wananchi la Tanzania.

Post a Comment

Previous Post Next Post