Anajulikana
kama Samson Cyper, Kwa jina la Kisanaa ni Cyper255 toka Jijini Mwanza,
Alianza kuchora tangu akiwa ana miaka 10 na aliiweka Sanaa ya Uchoraji
Pembeni na kujikita zaidi na Masomo. Mwaka huu rasmi kaingia tena kwenye
hii sanaa ya Uchoraji. Anaamini atafika mbali akipata support japo
changamoto ni nyingi anazokumbana nazo.
Anasema ilimchukua Masaa 3 kuikamilisha hiyo picha ya LULU.
Unaweza kuona kazi zake zingine kupitia akaunti zake za Kijamii.
Anasema ilimchukua Masaa 3 kuikamilisha hiyo picha ya LULU.
Unaweza kuona kazi zake zingine kupitia akaunti zake za Kijamii.
INSTAGRAM: @cyper255.
FACEBOOK: Samson Cyper.
Twitter: @Cyper255
FACEBOOK: Samson Cyper.
Twitter: @Cyper255
Hii ndio picha aliyoichora kijana huyu Cyper255
Post a Comment