
nchi mbalimbali alizofanya kazi kama Ufaransa,
Hispania na
Marekani ambako anaishi sasa hivi New York.
Flaviana amethibitishwa rasmi na
facebook kwamba hiyo account
yenye hicho kitiki hapo juu ndio account
yake pekee na
nyingine feki za Flaviana utaishia hapa.
Flaviana anakua Mtanzania wa kwanza
ninaemfahamu kuwa verified
na facebook ambapo tayari kwenye account yake
ya twitter yuko
verified pia ambapo Watanzania wengine ambao wako
verified
twitter ni President Jakaya, Hasheem, Ay, mawaziri January
Makamba na Lazaro Nyalandu
Post a Comment