Hili ndio Tukio Ambalo Akon Awezi Lisahau

Screen Shot 2014-04-29 at 1.32.14 AMAkon ni miongoni mwa mastaa wa muziki ambao waliteka sana chati za muziki duniani kati ya miaka ya 2003 mpaka 2008 kwa single kama lonely, right now, smack that, beautiful na nyinginezo.
Ustaa wake ulimfanya atembee sehemu mbalimbali kufanya showz ambazo baadhi yake zilichukua headlines kutokana na alichofanya kwa mashabiki ikiwemo hili tukio la kumrusha shabiki kutoka kwenye stage.
Ilikua hivi: Shabiki mmoja mzungu alimrushia kitu kwenye stage wakati Akon akiendelea na show, ni kitendo ambacho kilimkasirisha sana japo hakuonyesha mabadiliko sana kwenye sura yake lakini kiukweli kilimpa hasira na kujiuliza huyu mwenye ngozi nyeupe alimdharau kiasi gani.
Alichofanya Akon ni kumuita kwa lugha ya kikarimu yule shabiki kwenye stage na alipomfikia alimnyanyua na kumtupa chini walikokua wamesimama mashabiki wengine ambapo shabiki na mashabiki wengine waliumia kichwa, shingo na sehemu nyingine za mwili.
Unaweza kutazama jinsi ilivyokua hapa kwenye hii video chini

Hata hivyo Akon anakiri kwamba unapokua staa kuna wakati unajisahau kwamba wewe ni mtu maarufu na kila unachofanya kinaangaliwa hivyo ni somo la kujifunza ndio maana hawalaumu sana kina Justine Bieber na Chris Brown.
Kuna makosa kama kupiga Mwanamke au kosa jingine lolote ambalo akilifanya mtu wa kawaida halitakua kubwa sana ila akilifanya mtu maarufu ndio litamulikwa mpaka basi.
Hata hivyo, haikujulikana mara moja iwapo trafiki huyo alifariki dunia akiwa njiani kulipeleka gari hilo kituo cha polisi, alifariki muda mfupi baada ya kufika kituoni au wakati anapelekwa hospitali.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz alisema polisi huyo alikufa ghafla akiwa kazini lakini alikataa kuingia kwa undani wa tukio hilo lilitokea Ijumaa kati ya saa 5:00 asubuhi na saa 6:00 mchana, baada ya trafiki huyo kukamata daladala linalofanya kazi zake kati ya Kiborloni na katikati ya mji.
trafiki
Mmoja wa mashuhuda alisema “Baada ya kuikamata hiyo Hiace (Toyota) pale Kiborloni aliingia kwenye hiyo gari na kukaa kiti cha mbele pembeni ya dereva na kumwamuru kulipeleka kituoni.
“Wakati wakiwa njiani kuelekea kituoni ghafla yule trafiki akawa haongei na akawa anamwegemea dereva… hiyo hali iliendelea hadi walipofika kituoni ndipo dereva akawaeleza trafiki wenzake.” Mwili wa polisi huyo ulisafirishwa juzi kwenda Mbeya kwa mazishi.
Chanzo:MWananchi - See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/trafiki-afariki-dunia-ghafla-akiwa.html#.U2A3UHbHjgl

Post a Comment

Previous Post Next Post