Akon
ni miongoni mwa mastaa wa muziki ambao waliteka sana chati za muziki
duniani kati ya miaka ya 2003 mpaka 2008 kwa single kama lonely, right
now, smack that, beautiful na nyinginezo.
Ustaa wake ulimfanya atembee sehemu mbalimbali kufanya showz ambazo
baadhi yake zilichukua headlines kutokana na alichofanya kwa mashabiki
ikiwemo hili tukio la kumrusha shabiki kutoka kwenye stage.
Ilikua hivi: Shabiki mmoja mzungu alimrushia kitu kwenye stage wakati
Akon akiendelea na show, ni kitendo ambacho kilimkasirisha sana japo
hakuonyesha mabadiliko sana kwenye sura yake lakini kiukweli kilimpa
hasira na kujiuliza huyu mwenye ngozi nyeupe alimdharau kiasi gani.
Alichofanya Akon ni kumuita kwa lugha ya kikarimu yule shabiki kwenye
stage na alipomfikia alimnyanyua na kumtupa chini walikokua wamesimama
mashabiki wengine ambapo shabiki na mashabiki wengine waliumia kichwa,
shingo na sehemu nyingine za mwili.
Unaweza kutazama jinsi ilivyokua hapa kwenye hii video chini
Hata hivyo Akon anakiri kwamba unapokua staa kuna wakati unajisahau
kwamba wewe ni mtu maarufu na kila unachofanya kinaangaliwa hivyo ni
somo la kujifunza ndio maana hawalaumu sana kina Justine Bieber na Chris
Brown.
Kuna makosa kama kupiga Mwanamke au kosa jingine lolote ambalo
akilifanya mtu wa kawaida halitakua kubwa sana ila akilifanya mtu
maarufu ndio litamulikwa mpaka basi.
Hata hivyo, haikujulikana mara moja iwapo trafiki huyo alifariki
dunia akiwa njiani kulipeleka gari hilo kituo cha polisi, alifariki muda
mfupi baada ya kufika kituoni au wakati anapelekwa hospitali.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz alisema polisi huyo alikufa ghafla akiwa kazini lakini alikataa kuingia kwa undani wa tukio hilo lilitokea Ijumaa kati ya saa 5:00 asubuhi na saa 6:00 mchana, baada ya trafiki huyo kukamata daladala linalofanya kazi zake kati ya Kiborloni na katikati ya mji.
Mmoja wa mashuhuda alisema “Baada ya kuikamata hiyo Hiace (Toyota) pale Kiborloni aliingia kwenye hiyo gari na kukaa kiti cha mbele pembeni ya dereva na kumwamuru kulipeleka kituoni.
“Wakati wakiwa njiani kuelekea kituoni ghafla yule trafiki akawa haongei na akawa anamwegemea dereva… hiyo hali iliendelea hadi walipofika kituoni ndipo dereva akawaeleza trafiki wenzake.” Mwili wa polisi huyo ulisafirishwa juzi kwenda Mbeya kwa mazishi.
Chanzo:MWananchi - See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/trafiki-afariki-dunia-ghafla-akiwa.html#.U2A3UHbHjgl
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz alisema polisi huyo alikufa ghafla akiwa kazini lakini alikataa kuingia kwa undani wa tukio hilo lilitokea Ijumaa kati ya saa 5:00 asubuhi na saa 6:00 mchana, baada ya trafiki huyo kukamata daladala linalofanya kazi zake kati ya Kiborloni na katikati ya mji.
Mmoja wa mashuhuda alisema “Baada ya kuikamata hiyo Hiace (Toyota) pale Kiborloni aliingia kwenye hiyo gari na kukaa kiti cha mbele pembeni ya dereva na kumwamuru kulipeleka kituoni.
“Wakati wakiwa njiani kuelekea kituoni ghafla yule trafiki akawa haongei na akawa anamwegemea dereva… hiyo hali iliendelea hadi walipofika kituoni ndipo dereva akawaeleza trafiki wenzake.” Mwili wa polisi huyo ulisafirishwa juzi kwenda Mbeya kwa mazishi.
Chanzo:MWananchi - See more at: http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2014/04/trafiki-afariki-dunia-ghafla-akiwa.html#.U2A3UHbHjgl
Post a Comment