Picha: Hii ndio gari expensive zaidi China, inauzwa sh bilioni 1 na milioni 600 ($800,000) .


Hongqi-1
Hongqi L5 limousine ndio inasemekana kuwa ‘China’s most expensive car’, ambayo gari ya kwanza ya toleo hilo imeuzwa kwa Yuan milioni 5 ambayo ni sawa na dola laki nane za Marekani sawa na shilingi bilioni moja na milioni mia tatu+ (1,300,600,000).
Hongqi-3
Boombering imeripoti kuwa mteja wa kwanza kununua gari hiyo huko Nanjing ni tajiri wa China atakayebidhiwa gari yake miezi mitatu ijayo.

Hongqi-10 Hongqi-4 Hongqi-6 Hongqi-13 Hongqi-5 Hongqi-2 Hongqi-15 Hongqi-8 Hongqi-12 Hongqi-7 Hongqi-9 Hongqi-14
Source: BBC

Post a Comment

Previous Post Next Post