Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Balozi wa Korea nchini Mhe
Chung IL wakiwa mbele ya mchoro wa mfano wa Hospitali ya Chuo Kikuuu
cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo
ya Kwembe, Kilometa 25 kutoka jijini Dar es salaam, baada ya kuweka jiwe
la msingi la ujenzi wa hospitali hiyo itakayokuwa kubwa kuliko zote
nchini leo April 2014.

Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akifurahi jambo na msanii Mrisho Mpoto baada
ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya
Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini
Mloganzila maeneo ya Kwembe, Kilometa 25 kutoka jijini Dar es salaam,
baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa hospitali hiyo itakayokuwa
kubwa kuliko zote nchini leo April 2014. leo April 2014.

Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL
wakikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa
Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi
Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo ya Kwembe, Kilometa
24 kutoka jijini Dar es salaam, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi
wa hospitali hiyo itakayokuwa kubwa kuliko zote nchini leo April 24,
2014.

Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chungh IL
wakiweka udongo kwa pamoja wakati wa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi
Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila Kilometa 25 kutoka jijini
Dar es salaam, April 2014.

Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL na
viongozi wengine wakikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la
ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo ya Kwembe
Kilometa 25 kutoka jijini Dar es salaam, April 24, 2014.
Post a Comment