

“The Carters” wakiwa ndani ya Coachella, ukiacha tu kusherehekea “Smash Performance” walikua wanasherehekea ushindi wa $600 million Lawsuit iliyokuwa inamkabiri Mr Carter, kutokana na Radar Online Kuwa “Hip Hop Mogul” huyo imeripotiwa kuwa ameshinda kesi ya “$600 Million Lawsuit” ambayo alishtakiwa na Dr. Francois De Cassagnol kuwa mfanya Biashara huyu mkubwa nchini marekani JAY Z yeye pamoja na wafanyabiashara wenzake kuwa wamelimaliza jina “Brooklyn Net” .Nakala za mahakama zimesema kuwa wanatupilia mbali madai hayo sababu De Cassagnol hajaonyesha nakala zozote zinazoonyesha kuwa Jay Z na wenzake wamefanya kitendo hicho cha kutumia jina hilo la Brooklyn Net kwa manufaa yao.
Angalia picha zaidi za “The Carters” ndani ya Coachella Music Festival.



Post a Comment