
 Wasanii
 mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla 
ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom 
Tanzania  kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa 
wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni 
hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa 
malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya 
kujikinga, tiba na masuala mengine mbalimbali ya Malaria anachopaswa 
mteja kufanya ni kujiunga kwa kutuma neno "Malaria" au "Mzinduka" kwenda
 nambari 15760 bila malipo.
Wasanii
 mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla 
ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom 
Tanzania  kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa 
wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni 
hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa 
malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya 
kujikinga, tiba na masuala mengine mbalimbali ya Malaria anachopaswa 
mteja kufanya ni kujiunga kwa kutuma neno "Malaria" au "Mzinduka" kwenda
 nambari 15760 bila malipo. Meneja
 Uhusiano wa Mambo ya nje Salumu Mwalim akiimba na wasani wa
Meneja
 Uhusiano wa Mambo ya nje Salumu Mwalim akiimba na wasani wa
 Kundi la 
THT wimbo wa kutokomeza malaria ujulikanao kama  Malaria
 No More  katika
 Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,kabla ya kuanza
 kwa mtanange wa 
watatni wa jadi Simba na Yanga.Vodacom Tanzania kwa
 kushirikiana na 
Taasisi ya Malaria No More na THT walipokuwa wakitangaza
 namba maalumu 
ambayo wateja wanaotumia huduma za Vodacom wanaweza 
kuitumia kupata 
taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja kuweza
 kupata 
taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya kujikinga, tiba na masuala mengine
 mbalimbali ya Malaria anachopaswa mteja kufanya ni kujiunga kwa kutuma
 neno "Malaria" au "Mzinduka" kwenda nambari 15760 bila malipo.
 Meneja
 Uhusiano wa Mambo ya nje wa Vodacom Tanzania Salum  Mwalim akitangaza
Meneja
 Uhusiano wa Mambo ya nje wa Vodacom Tanzania Salum  Mwalim akitangaza 
 namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za Vodacom wanaweza 
kuitumia
 kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja 
kuweza kupata 
taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya kujikinga, tiba na 
masuala mengine mbalimbali
 ya Malaria anachopaswa mteja kufanya ni 
kujiunga kwa kutuma neno 
"Malaria" au "M zinduka" kwenda nambari 15760 
bila malipo.









Post a Comment