ARJEN ROBBEN AIPIGA `CHAGA` MAN UNITED, ASEMA KUNA `ASILIMIA SIFURI` KUONDOKA BAYERN MUNICH

No deal: Bayern Munich winger Arjen Robben says there is 'zero chance' he will join Manchester United this summer



Praise: The Dutch winger did however speak highly of new United boss and national team coach Louis van Gaal

Arjen Robben amesema kuna asilimia sifuri za yeye kuondoka katika klabu ya Bayern Munich kujiunga na Manchester United majira ya kiangazi mwaka huu.
Winga huyo raia wa Uholanzi ni moja ya wachezaji wanaowindwa na kocha mpya wa Man United, Louis van Gaal ambaye anataka kuwaleta baadhi ya wachezaji kutoka Bundesliga.
 Robben amesisitiza kuwa haiwezekani kuungana na Va Gaal kwasababu ana furaha chini ya Pep Guardiola nchini Ujerumani.

Post a Comment

Previous Post Next Post