Hii Kali:- Inasemekana mkataba mnono wa Vanessa Mdee wasababisha kumtosa Meneja wake.

mdee 
Miongoni mwa watu waliokula shavu nono kutoka kampuni ya Airtel ni pamoja na Vanessa Mdee aka ‘Vee Money’ ingawa haujawekwa wazi ni mkataba wa kampuni gani lakini inasemekana baada ya kusaini mkataba wa hela nyingi amemtosa Meneja wake.

Post a Comment

Previous Post Next Post