Tunaendelea kupata mtiririko wa mahojiano ya mwingizaji Nuru Nasoro ‘Nora’ tuliyoanza wiki iliyopita, karibu:
Mwigizaji mkongwe wa tasnia ya filamu za kibongo Nuru Nasoro ‘Nora’
Gladness: Unawaambia nini wenzako wenye tabia hizo chafu za kutembea na watu ovyo?
Nora: Mimi nawaasa waachane na tabia hiyo kwani magonjwa ni mengi ukizingatia kuwa wanaume wenyewe wanawatumia tu kama vyombo vya starehe.
Gladness: Ni kitu gani ambacho kimewahi kukuumiza sana katika maisha yako?
Nora: Ukweli picha za utupu ziliniumiza sana kwani zilikuwa ni mbinu za wasanii wenzangu kutaka kunishusha kisanaa ambapo walinipiga nikiwa nimelala sijielewi.
Gladness: Huwa unaenda msikitini?
Nora:-__________ SOMA ZAIDI HAPA

Nora: Mimi nawaasa waachane na tabia hiyo kwani magonjwa ni mengi ukizingatia kuwa wanaume wenyewe wanawatumia tu kama vyombo vya starehe.
Gladness: Ni kitu gani ambacho kimewahi kukuumiza sana katika maisha yako?
Nora: Ukweli picha za utupu ziliniumiza sana kwani zilikuwa ni mbinu za wasanii wenzangu kutaka kunishusha kisanaa ambapo walinipiga nikiwa nimelala sijielewi.
Gladness: Huwa unaenda msikitini?
Nora:-__________ SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment