HIVI NDIVYO PICHA ZA UTUPU ZILIVYOMTESA NORA

Tunaendelea kupata mtiririko wa mahojiano ya mwingizaji Nuru Nasoro ‘Nora’ tuliyoanza wiki iliyopita, karibu:
Mwigizaji mkongwe wa tasnia ya filamu za kibongo Nuru Nasoro ‘Nora’
Gladness: Unawaambia nini wenzako wenye tabia hizo chafu za kutembea na watu ovyo?
Nora: Mimi nawaasa waachane na tabia hiyo kwani magonjwa ni mengi ukizingatia kuwa wanaume wenyewe wanawatumia tu kama vyombo vya starehe.

Gladness: Ni kitu gani ambacho kimewahi kukuumiza sana katika maisha yako?
Nora: Ukweli picha za utupu ziliniumiza sana kwani zilikuwa ni mbinu za wasanii wenzangu kutaka kunishusha kisanaa ambapo walinipiga nikiwa nimelala sijielewi.
Gladness: Huwa unaenda msikitini?

Nora:-__________  SOMA ZAIDI HAPA

Post a Comment

Previous Post Next Post