NYOTA wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela amedaiwa kugeuka teja (mbwia
madawa ya kulevya) hali inayomsababishia ashindwe kujichanganya na
wasanii wenzake katika shughuli mbalimbali.

Kikizungumza na Amani juzikati, chanzo kilisema msanii huyo kwa sasa
anavuta unga kiasi cha uteja kujionesha waziwazi na kupoteza mwonekano
wake wa zamani.
Juzi, paparazi wetu alimtafuta Mlela na kufanikiwa kumpata nyumbani
kwao Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa na haya ya kusema:

Post a Comment