NDOA YA MIL. 96 YA VICKY KAMATA HATIHATI KUFUNGWA

Vicky Paschal Kamata.
ILE ndoa inayodaiwa ikifungwa harusi yake itatafuna shilingi milioni 96 kati ya Mbunge wa Viti Maalum Geita kwa tiketi ya CCM, Vicky Paschal Kamata na mwanaume aliyejulikana kwa jina la Charles iko katika hatihati ya kufungwa kutokana na kuibuka kwa mizengwe.

Habari za ndani zinadai kuwa ___

Post a Comment

Previous Post Next Post