NEWS NYUMBA 4 ZATEKETEA NA MOTO MDA HUU MAENEO YA MANZESE DARAJANI DAR ES SALAAM


Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba maeneo ya manzese darajani karibia na bank ya advans yasemekana kuna nyumba 4 zinaendelea kuteketea na moto mda huu, mpaka dakika hii chanzo cha moto huo bado hakijajulikana, but stay tune soon tutawajuza habari kamili kuhisiana na moto huo.
 Baadhi ya wagonjwa wa Hospitali ya Morden Centre iliyopo Manzese darajani wakiwa ndani ya gari la wagonjwa baada ya kutimua hospitali kuhofia maisha yao baada ya maduka jirani na hospitali hiyo kuwaka moto na moshi kujaa hospitalini, hivyo kuwapa hofu wakonjwa. Chanzo cha moto huo hakijajulikana na vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya uokoaji.

Post a Comment

Previous Post Next Post