WAZEE WA YANGA WAPANGA KUMFUATA MKUU WA MKOA WA DAR

Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, Ibrahim Akilimali (katikati), akizungumza na wandishi wa habari, leo makao makuu ya klabu hiyo Jangwani, kuhusu azimio lao la kumfuata Mkuu wa Mkoa Dar Meck Sadiki Jumatatu wiki hii, wakishinikiza kupewa majibu ya ombi lao la kuongozewa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa kisasa pale Jangwani.
Mzee Akilimali (katikakati) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari. Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Bakiri Makele. Dhumuni kuu wamepanga Jumatatu guu kwa guu hadi kwa Mheshimiwa Sadiki kutaka majibu ya eneo la Kaunda ili ujenzi uanze mara moja.

Post a Comment

Previous Post Next Post