
JayAre toka kikundi
cha ‘Cali Swag District’ amekufa ijumaa hii kwa sababu alizaliwa na
ugonjwa wa “sickle Cell Anemia, mkoja wa rapper wa kwenye kikundi chao
alielezea. Jay alikuwa anaumwa sickle cell anemia na alikuwa amelazwa
hospitalini alhamisi bila sababu yoyote, mida kadhaa iliyopita hali yake
ilizidi kuwa mbaya hadi mauti yalipomkuta.
General Da Smoove – mmoja wa members wa kundi la CSD – aliweka ujumbe
twitter akisema ,”Sickle cell took my brother away from me today.With
that being said I’m proud to know that with that disease he made the
best of his life … I jus(sp) saw my bro literally fight for his life I
told him ‘I love you bro’ hope’n he heard me..”
Mbaya zaidi sio wa kwanza kufa kwenye kikundi hicho cha Cali Swag… in 2011, CSD member M-Bone alipigwa risasi na kufa Pale pale..

Mbaya zaidi sio wa kwanza kufa kwenye kikundi hicho cha Cali Swag… in 2011, CSD member M-Bone alipigwa risasi na kufa Pale pale..

Post a Comment