Umati wa watu uliofulika nyumbani kwa
mama mzazi wa mwenyekiti wa Tawi la Yanga marehemu Hamis Katoto
Baadhi ya Umati huo
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Katoto
Waombolezaji
Watu wakikimbilia magari kuelekea makaburini
Kwa
sheria za dini ya kiislama wanawake hawafiki makaburini hivyo baadhi ya
kina mama hao walijazana kwenye tulubai wakiwafariji wafiwa
Katibu
wa tawi la yanga mkoa wa Morogoro Hamisi mkingie mwenye bagharashia
akiwa na hudhuni kubwa ya kuondokewa na mwenyekiti wake tawi hilo
Kina mama wakipokea duwa
Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Morogoro
Kusini lnnocent Karogerezi akitoa salam za Chama ambapo marehmu pia
alikuwa kada wa chama hicho
Salma
za mbunge huyo ziliishia njiani baada ya kushindwa kujizuia na kuangua
kilio,lkumbuke jimbo la morogoro kusini analoongoza mbunge huyo iliki
wilaya ya Morogoro Vijijini ambapo marehemu Katoto alikuwa lnjini wa
barabara ya halmashuri ya Morogoro Vijijini,chini ya Ungozi wa
Karogerezi jimbo la Morogoro kusini kwa sasa mbali ya kuwa na umeme lina
barabara nzuri zilizosimamaiwa na Mbunge huyo na marehemu
Kalogerezi
akiendele kuangua kilio, huku kaka yake Wencelaus Karogerezi[kushoto]
ambaye ni Diwani wa kata ya Mji Mpya naye akimsapoti mdogo wake kwa
kuangua kilio vigogo hao wa CCM na marehemu wote ni wamezaliwa na
kukulia kata hiyo ya Mji Mpya
Mkuu
wa Wilaya ya Kusini Unguja ambaye alifika kwenye maziko hayo na ujumbe
wa watu wanne akitoa salamu kutoka kwenye wilaya yake
Katibu wa tawi la Yanga Safi Morogoro Hamiss Mkingie ambalo marehemu katoto alikuwa mwenyekiti akitoa salama za tawi hilo
Kigogo
wa CCM kata ya Mji Mpya Jitihada Kitogo'Kitonsa'anaye alishindwa kutoa
salama za CCM kata na kuangua kilio kwa uchungu ambaposehemu ya maneneo
yake alisema" CCM Mji Mpya kulikuwa kwenye maandalizi ya kumuanda lnjini
Katoto kuwa mbunge wa moja ya majimbo ya mkoa wa Morogoro lakini bahati
mbaya mungu amemchukua"alisema Kitonsa na kuangu kilio
Kitonsa akizidi kulia
Mama mzazi wa marehemu akiangua kilia kwa uchungu,wa kuondokewa na mwanae ambaye alikuwa nguzo muhimu kwenye familia hiyo.

Mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiniwa Kikwete[kulia] ambaye pia ni mtoto wa rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete
Aliyekuwa
mkuu wa jeshi la Polisi Tanzania ambaye kwa sasa amestaafu I.G.P Alhaji
Omar ldd Mahita naye alikuwepo kwenye msiba huo
Hamis Rajabu Kibangula[kushoto]
Beki mahiri wa yanga Juma Abdul[kati] anaye alikuwepo kwenye mazishi ya mwenyekiti wa timu yake
Kaimu Sheikh mkuu wa mkoa wa Morogoro Sheikh Ally Omar naye alikuwepo kwenye msiba huo
Tawi
la yanga safi ambaye lilianzsihwa na marehemu mbali ya kutoa rambirambi
ya shilingi lakini mbili pia kwenye kikao chaom cha juzi walikubalia pia
kukodi basi ambalo lilibeba wanachma wote wa tawili hilo,huku basi hilo
likipambw ana bendera za timu yao
MTANI
JEMBE,Mwanachma wa Simba Frank Mwarabu'maarufu kwa jina la Samora ambaye
kwenye msiba huo alikuwa mtani alipanda kwenye basi hilo huku akiwa na
jezi yenye rangi nyekundu na nyeupe ambazo ni rangi 'Boko Haramu'kwa
yanga baadhi ya wananga wakimzuia Samora kupanda basi hilo mwanachma
huyo wa simba alikomaa na kufanikiwa kupanda kwenye basi hilo
Baada ya kureha kutoka makaburini walipiga picha ya pamoja na mwanachma huyo wa simba
Mahita
akitoka msibani na kukatiza mitaa ya Mji Mpya huku akiwa na Sheik Koba
ambaye ni Sheikh kiongozi wa Msikiti wa Mahita ulipo pande za Mafika
mkoani hapa.
Na Dustan Shekidele,Morogoro.
MTOTO
wa Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete ambaye pia
ni Mbunge wa jimbo la Chalinze na mkuu wa jeshi la polisi mstaafu I.G.P
Omar ldd Mahita jama jioni waliongoza umati wa wananahci kutoka pande
mbali mbali za nchini ya Tanzania kumsika mwenyekiti wa Tawi la Yanga
Safi Morogoro marehemu lnjnia Hamis Selema Katoto aliyekufa juzi kwa
ajari ya gari eneo la Kihonda maghorofani majira ya saa 6 usiku.
lnjini
Katoto ambaye ni miongoni mwa waandisi walioapishwa juzi kati Dodoma na
waziri wa Ujezi John Pombe Magufuri amekwa jana katika makaburi ya
Makambalani nje kidogo ya Mji wa Morogoro.
marehemu ameacha mke na watoto watatu
Post a Comment