WanaCCm wamefika katika jengo lao, Dodoma na kukuta limepigwa
maneno ya rangi nyekundu: NO KATIBA
UFISADI na kama hilo halitoshi kuna vipepersuhi vinasambazwa vikisema maneno
yanayoudhi lakini kimoja kimeandikwa:
:ONYO DODOMA SI MAHALI PA KUFUGA WEZI WA MALI ZA UMMA
UTAKAYEINGIA BUNGENI KUANZIA KESHO YATAKAYOKUPATA UTAJUTA:
Hayo yako Dodoma, kaazi kwelikweli.

Post a Comment