BUCHA YA MTANGA NI MFANO WAKUIGWA...!


butcher_121d7.jpg
butcher_4_ba198.jpg
butcher_3_ed13d.jpg
katika pitapita yangu nilikutana na bucha moja ya kisasa ambayo iliopo katika mtaa wa uhindini manispaa ya iringa inayotumia vifaa vya kisasa vya kukatia nyama pamoja na kuhifadhiwa na kwekwa kwenye vifungashio safi na  usalama kiafya kwa walaji. ushauri wangu kwa serikali ni kwamba bucha zote za mijini ziwe na visu vya umeme vya kukatia nyama pamoja na kuwa chumba baridi (coldroom) kwa ajili ya kuhifadhia nyama, lakini sio kwa kutumia mashoka na mapanga kucharanga nyama ambapo usalama kiafya kwa mlaji duni. (friday simbaya)
butcher_121d7.jpg
butcher_4_ba198.jpg
katika pitapita yangu nilikutana na bucha mmoja ya kisasa ambayo iliopo katika mtaa wa uhindini manispaa ya iringa inayotumia vifaa vya kisasa vya kukatia nyama pamoja na kuhifadhiwa na kwekwa kwenye vifungashio safi na  usalama kiafya kwa walaji. ushauri wangu kwa serikali ni kwamba bucha zote za mijini ziwe na visu vya umeme vya kukatia nyama pamoja na kuwa chumba baridi (cold room) kwa ajili ya kuhifadhia nyama, lakini sio kwa kutumia mashoka na mapanga kucharanga nyama ambapo usalama kiafya kwa mlaji duni. (friday simbaya)

Post a Comment

Previous Post Next Post