Mpya:- Waliochaguliwa kujiunga na UDOM Directly (ODSE)

 
Kama jina lako lipo hapa omba mkopo kupitia www.heslb.go.tz kama unahitaji. Kozi hizi zina ufadhili wa serikali kwa watakaokidhi vigezo vya bodi.



Mawasiliano zaidi yatatolewa na UDOM. Kumbuka UDOM ni chuo kikuu na hivyo mamlaka ya mwisho kuhusu kujiunga na chuo hutolewa na senate ya chuo. Hivyo majina haya yametolewa kuwawezesha kuomba mkopo wakati mkisubiri taarifa rasmi kutoka UDOM.

Post a Comment

Previous Post Next Post