Emmanuel Okwi
REKODI zinaonyesha
kwamba Simba haijawahi kushinda kesi ya kumwania mchezaji yeyote kati
yake na Yanga au Costal Union kwa takribani miaka 20.
Mara kadhaa timu hiyo
yenye maskani yake Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam imejikuta
ikibwagwa katika vita ya kugombea mchezaji kati yake na klabu hizo, lakini
hukumu za wachezaji

Post a Comment