TAMASHA la ‘Coastal Day’ limefanyika leo katika
uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga ambapo mashabiki na wanachama wa klabu hiyo
wamepata nafasi ya kuwaona wachezaji wapya waliosajiliwa majira ya kiangazi
mwaka huu.
Coastal walioweka kambi ya mwezi mmoja kisiwani
Pemba wamecheza mechi ya kirafiki na Polisi Morogoro ili kusindikiza tamasha
hilo.
Afisa habari wa Coastal Union, Oscar Assenga
amesema Bofya Hapa Kuendelea kusoma.
Post a Comment