Wakazi
wa vijiji vya kasekese,kaseganyama na Nkungwi wakimsikiliza mkuu wa
wilaya ya Mpanda Paza Mwamlima hayupo pichani alipokuwa akiwahutubia na
kuwapa elimu juu ya madhara ya kuvamiamaeneo yasiyoruhusiwa kisheria na
kuataka waondoka kabla sheria haijachukua mkoando wake,kwa kuwa
kuendelea kukaa katika maeneo yaliyo nje ya mipaka ya vijiji ni kuvunja
sheria nanserikali inawapenda ndiyo maana iawaeleza waondoke wenyewe kwa
hiari kuliko kuondolewa kwa nguvu
mama
Paulina pandisha Mkazi wa kijiji cha Kasekese akipaza sauti yake
kuwalaumu viongozi wa vijiji kwa kushindwa kuwafahamisha wananchi mipaka
ya vijiji vyao unaopakana na jumuiya ya uhifadhi wanyamapori ya Ubende
wma akitoa malalamiko yake kwa mkuu wa wilaya ya mpanda PAZA MWAMLIMA
Hayupo pichan
Post a Comment