Imetokea ajali mbaya eneo la Tengeru kuelekea Usa, kati
ya lory na gari dogo la abiria (hiace) watu kadha wamefariki na majeruhi
ni wengi.
Watu
9 wamekufa na wengine 2 wamejeruhiwa baada ya basi dogo la abiria
Toyota Hiace kugongana uso kwa uso na lori mafuta katika eneo la Usa
River, Arusha
Source; RADIO ONE STEREO
Post a Comment