Chid Benzi akitoka lango la mahakama ya Kisutu.
...Akifungua mlango wa gari lililokuwa likimsubiri.
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro
’Chid Benz’amepata dhamana mapema hii leo katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu baada ya kukamilisha taratibu zote za wadhamini wawili
baada ya hapo jana kurudishwa rumande alipokuwa hajakamilisha taratibu
hizo.
Post a Comment