
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Abdulrahman Kinana 
akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete muda mfupi baada ya
 Rais kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma jana, ambapo aliongoza 
vikao vya CCM. Wa pili kushoto ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na watatu 
kushoto ni Makamu wa CCM Bara, Philip Mangula. (PICHA NA FREDDY MARO)

 Baadhi Wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Dodoma wakimvika 
skafu na kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete 
muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma ambapo 
anatarajiwa kuongoza vikao vya ngazi ya juu vya CCM.

Post a Comment