Msafara wa watu 40, ukiwa na jumla na jumla ya wachezaji 28 wa kikosi
cha kwanza wa timu ya Young Africans tayari umeshawasili salama mjini
Shinyanga na kupokelewa na wapenzi, washabiki na wanachama wa timu hiyo
katika eneo la Tinde (km 35) kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya Stand
United.
PICHA ZOTE NA BARAKA KIZUGUTO WA YANGA.
Post a Comment