HATIMAYE Basi la Shule ya Msingi Sinza Maalum
(Walemavu wa akili )lililokuwa limekamatwa na polisi wa usalama
barabarani kwa kosa la kushindwa kuelewana na dereva, hatimaye juzi
limeachiwa huru na wanafunzi wameanza kuhudhuria masomo kama kawaida. (Stori, Picha: Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha/GPL)
Post a Comment