East Africa TV
Vurugu bado zinaendelea ndani ya Ubungo Plaza zikiambatana na mapigano yanayowahusisha Paul Makonda pamoja na Jaji Warioba #MdahaloWaKatiba
Details
East Africa TV
@eastafricatv
7m7 minutes ago
East Africa TV
Imejitokeza vurugu ndani ya ukumbi wakati jaji Warioba akihutubia baadhi ya vijana kutoa mabango ya kuunga mkono Katiba #MdahaloWaKatiba
Bango mojawapo lililozua kizaazaa linasomeka "Tumeipokea, Tunaikubali na tunaiunga mkono" Hali bado haijatulia #MdahaloWaKatiba
Maafisa wa polisi wamefika katika ukumbi wa Ubungo Plaza kuzuia vurugu, hali bado haijatulia, #MdahaloWaKatiba
Mdahalo umeahirishwa kutokana na vurugu zilizojitokeza, Mzee Butiku ameelezea kusikitishwa na vurugu hizo. #MdahaloWaKatiba
Kwa mujibu wa Mzee Butiku, midahalo hiyo itaendelea Zanzibar, Mbeya, mwanza na sehemu nyingine za Tanzania #MdahaloWaKatiba
Post a Comment