Sehemu ya ghorofa iliyobomolewa ili kupisha upitishaji wa bomba hilo.
Mtaro ukipita karibu na ghorofa.Moja ya bomba likiwa tayari kwenye mtaro.
Baadhi ya mabomba yakiwa hayajafukiwa.Mtaro ukipita jirani na karakana ya Mafundi Seremala.
KUFUATIA mamlaka ya maji safi na taka jijini Dar es
Salaam (Dawasco) kuweka mabomba maeneo ya Mbezi Makonde, jijini Dar es
Salaam imelazimika kuvunjwa kwa baadhi ya biashara, majengo, nyumba na
ghorofa zilizoko katika njia itayopita bomba hilo.
Post a Comment