Leo ni leo. Jumamosi, Januari 24; saa 5 ofisini kwake. Mada kuu ni
Escrow. Amewaita waandishi wa habari ili kutoa ya mayoni , haijulikani
anataka kusema nini na kuchukua hatua gani , inasemekana kuna viongozi
viti havikaliki kwa vile kuna wasiwasi akalipua bomu ambalo halijulikani
.
Bunge linatarajia kuanza week ijayo na kuna wabunge wameapa kuwa Muhongo na Chenge wakiingia bungeni siku hiyo hapata kalika.
Nini Maoni yako ya hii habari?
Bunge linatarajia kuanza week ijayo na kuna wabunge wameapa kuwa Muhongo na Chenge wakiingia bungeni siku hiyo hapata kalika.
Nini Maoni yako ya hii habari?

Post a Comment