TANESCO IMESEMA IMEIMARIKA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA YA LUKU KWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI


Kaimu  Mkurugenzi Mtendaji wa  kampuni ya  TANESCO, Declan Mhaiki ( kulia) ) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya kuimarika kwa mfumo wa luku wa  kununulia umeme  katika mitandao ya simu, wakala wa Selcom na Maximalipo.Kulia ni Kaimu Meneja Uhusiano, Lusazo Mwakabuku, wa pili kushoto ni   Meneja Mwandamizi wa ICT wa kampuni hiyo, Kusenha Mazengo na  kushoto kabisa ni Ofisa Uhusioano wa Tanesco, Neema Mbuja.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa  kampuni ya  TANESCO, Declan Mhaiki (wa pili kulia) ) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya kuimarika kwa mfumo wa luku wa  kununulia umeme  katika mitandao ya simu, wakala wa Selcom na Maximalipo.Kulia ni Kaimu Meneja Uhusiano, Lusazo Mwakabuku na wa pili kushoto ni  kushoto ni Meneja Mwandamizi wa ICTwa  kampuni hiyo, Kusenha Mazengo.

Post a Comment

Previous Post Next Post