Spika wa Bunge, Anne Makinda akiongozwa na Mpambe kuingia kwenye ukumbi wa Bunge leo Januari 27, 2015.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,
Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama,Bungeni mjini Dodoma leo Januari
27, 2015.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju akiapa Bungeni mjini Dodoma leo Januari 27, 2015.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Mwanasheria Mkuu wa serikali, George
Masaju (wapili kulia) baada ya mwanasheria huyo kuapishwa Bugeni mjini
Dodoma leo Januari 27, 2015.
Post a Comment