Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akizungumza na vijana wa ulinzi wa
chama hicho maarufu kama Red Brigade, (RB), kutoka Kanda ya Kati ya
Mikoa ya Dodoma na Singida kwenye makao makuu ya chama hicho mjini
Dodoma leo Jumatatu Februari 9, 2015. Vijana hao hutumika kulinda
viongozi, mali za chama na kwenye mikutano ya hadhara na ile ya ndani ya
chama.
Mbowe wakati akizungumza na Red Brigade
Post a Comment