MBOWE ATETA NA RED BRIGADE DODOMA

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akizungumza na vijana wa ulinzi wa chama hicho maarufu kama Red Brigade, (RB), kutoka Kanda ya Kati ya Mikoa ya Dodoma na Singida kwenye makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma leo Jumatatu Februari 9, 2015. Vijana hao hutumika kulinda viongozi, mali za chama na kwenye mikutano ya hadhara na ile ya ndani ya chama.
Mbowe wakati akizungumza na Red Brigade

Post a Comment

Previous Post Next Post